K.S.P

Blog & News

44 View 00 Comment

Ofa ya mafunzo ya kuogelea msimu huu

Mafunzo ya kuogelea na uokoaji yanayotolewa na KSP Kwa mtu Moja mmoja pia Taasisi za serikali za binafsi ndani ya Nchi na Nje ya Nchi. www.Kimimba-swimming.Co.tz Whatsapp +255714287207

Read More
954 View 00 Comment

Majonzi makubwa katika nchi ya Tanzania

Kimimba swimming Promotions Limited, tunaungana na watanzania wote kwenye majonzi haya ya msiba mzito na pigo kubwa kitaifa, kwa pamoja tuna mtakia mpendwa wetu apumzike kwa amani.

Read More
10 View 08 Comment

Training on lifesaving skills at Mbudya Island

Training on lifesaving skills at Mbudya Island on 17/7/2020​ The training was coordinated by Marine Parks and facilitated by Kimimba Swimming Promotions.

Read More

 
9 View 02 Comment

Rwanda Competition

Kikosi cha wachezaji wa Tanzania kilicho Fanya maajabu Nchini Rwanda chini ya kocha Feliki Kalengela

Read More
1 View 01 Comment

Rescue Session from KSP

Dr Beatrice Mkunde meneja wa KSP akitoa maelekezo jinsi ya kusubiri msaada baada ya kuzamaa majini

Read More
4 View 03 Comment

Rescue Training

Mafunzo ya uokoaji ni muhimu Sana kwani idadi kubwa wanakufa kwa kukosa msaada

Read More

 
10 View 08 Comment

Football Stadium

Mkurugezi wa KSP Mr Geofey Kimimba wakiwa na katibu mkuu wa chama cha kuogelea wa zamani walipokuwa Nchini Spain katika mashindano ya kuogelea ya Dunia Kutembelea moja ya viwaja vikubwa vya mpira wa miguu

Read More
14 View 06 Comment

World Swimming Summit

Baadhi ya viongozi wa bara la Africa wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kuingia kwenye mkutano wa Dunia wa chama cha kuogelea uliofanyika Spain. Tanzania iliwakilishwa na Mr. Noel Kiunsi na Mr. Geofrey Kimimba

Read More
17 View 12 Comment

Swimming Competitor - Agnes

Agnes Kimimba mtoto wa mkurugezi wa KSP Ndugu Geofrey Kimimba akiwa katika baadhi ya mashindano aliyowahi kufanya vizuri na kujizolea medali nyingi za kitaifa katika mchezo wa kuogelea

Read More

 
22 View 05 Comment

Swim Team

Kikosi cha timu ya taifa ya kuogelea kikiwa chini ya kocha mahiri Alex Mwaipasi pia na baadhi ya wachezaji Ito Sakura, Agnes Kimimba na wengine wengi

Read More
78 View 01 Comment

Wisdom

Mkurugenzi wa KSP akitoa nasaha kwa timu ya taifa ya kuogelea mbele ya mgeni rasmi kutoka Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo, ambaye kwa sasa ni mkuu wa chuo cha michezo Marya.

Read More
49 View 11 Comment

Coaches Class

Makocha kutoka Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kufunga mafunzo hayo na kupata certificates zao

 

Read More  

 
73 View 09 Comment

Usalama wa maji Kuogelea, Uokoaji

Mama Ragina Mbilinyi, mwenyekiti wa chama cha mabaria wanawake Afrika mashariki na kusini mwa Afrika, pia Captain Mwakibuje toka chuo cha mabaria DMI wakiwa kwenye picha ya pamoja na wakinamama waliohudhuria mafunzo ya Usalama wa maji Kuogelea, Uokoaji, Jinsi ya kusubiri msaada majini wakati ajali inapotokea, Mafunzo hayo yalifanyika Navy beach

Read More
98 View 21 Comment

Competition Sponsored - Vodacom

Moja ya mashidano yalitisha yalidhaminiwa na vodacom KSP ikiwa chini ya TMS, ilifanya vizuri kwa mcheza wake Agnes Kimimba kuvuja rekodi ya butterfly na kuwa mchezaji chipukizi wa mwaka chini ya ushindani mkali wa wachezaji wengi akiwemo mchezaji Wakimataifa Sonia Tomioto. Kwa upande wa kiume Pia KSP iliweza Kunga'ara baada kijana Patrick Kimimba alitwaa nafasi ya uchezaji chipukizi kwa upande wa kiume

Read More
49 View 03 Comment

Uganda Competition

Baadhi ya wachezaji wa timu ya taifa ya kuogelea iliyowakisha Nchi katika mashindano ya kuogelea Nchini Uganda. KSP ikitoa mchango mkubwa kwa kutoa wachezaji wengi akiwemo Erick Mrima alitikisa jiji la Kampala kwa kujizolea medali za dhahabu sita wengine ni Philipo Sigareti, Agnes Kimimba na Patrick Kimimba

Read More

 
249 View 08 Comment

Women Training

Eng. Rehana akiwa na Mrs. Geofrey Kimimba (mke wa mkurugenzi wa KSP) wakisimamia mafunzo ya wakinamama chini ya udhamini wa Sanlam Asurence

Read More
213 View 14 Comment

Beach Practice

Baadhi ya wanasemina wakifanya mazoezi chini ya usimamizi wa walimu mahiri Mr Hamimu Mtenga, Omary Kibabi, Ally Twaha na wengineo

Read More
112 View 07 Comment

In-Water Practice

Mama Stella Seleki na Mwalimu Omary Kibabi wakitoa maelekezo kwa wanasemina katikati ya mji ikiwa ni moja mafunzo ya uokoaji

Read More
17 View 12 Comment

Mafanikio makubwa katika mafunzo ya uokoaji

Jumla ya wa shiriki 23 walipatiwa mafunzo hayo baadhi ya walimu walioshiriki katika mafunzo hayo ni pamoja na Mr. Mosess Mtemelwa mwalimu wa kimataifa pia Agnes Kimimba mwalimu anafundisha shule ya kimataifa Fedha. Mafunzo hayo yalifundishwa kwa welendi wa hali ya juu

Read More
14 View 06 Comment

Mafuzo ya uokoaji kisiwani Mbudya

Mafuzo ya uokoaji yaliyoendeshwa na K.S.P katika kisiwa cha Mbudya chini udhamini wa Marine park yaliyofanyika kwa Siku mbili 16 Jul- 17 Jul 2020.

Read More

 

(+255)71-428-7207

(+255)71-428-7207

Kigamboni District, Vijibweni Ward, Dar es Salaam Tz.

info@kimimba-swimming.co.tz

mail@kimimba-swimming.co.tz

Mon - Fri: 11.00 - 18.00

Sat - Sun: 08.00 - 20.00

Choose Color